wizara ya kilimo News

Bajeti ya Kilimo Tanzania-umwagiliaji na mbegu bora zapewa kipaumbele
Idadi ya Watanzania ni Milioni 61.74. Kati ya hao asilimia 65.6 sawa na zaidi ya

Kampuni yakatazwa kununua parachichi
Waziri wa Kilimo Tanzania Hussein Bashe ameagiza kukamatwa kwa mmliki wa kampuni ya Candia Fresh

Wanafunzi wa kilimo wasifukuzwe – Kusaya
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya ameagiza uongozi wa Chuo cha mafunzo ya Kilimo

Serikali yatenga bilioni 16 kujenga kituo mahiri cha usimamizi wa mazao ya nafaka
Katibu Mkuu wa Kilimo Bw. Gerald Kusaya leo (19/06/2020) amesaini mkataba wa ujenzi wa kituo

Naibu Waziri Bashe akutana na wadau wa shahiri na zabibu Dodoma
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe amekutana na wadau wa zao la shahiri na

Katibu Mkuu kilimo awaagiza wakandarasi wa skimu za umwagiliaji kumaliza haraka
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bwana Gerald Musabila Kusaya, amewaagiza Wakandarasi wanne kumaliza miradi ya

Waziri Hasunga awaonya wafanyi biashara dhidi ya kuongeza bei ya sukari
Serikali ya Tanzania imeweka wazi bei ya sukari nchini ambapo bei ya rejareja haitazidi Sh

Ukaguzi kuhusu mpunga Tanzania
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya amewaongoza Makatibu Wakuu wa Wizara za Viwanda na

VIJANA LIMENI NA KUUZA POPOTE, SERIKALI HAITOWAINGILIA – NAIBU WAZIRI BASHE
Naibu Waziri wa Kilimo Tanzania Hussein Bashe amewataka vijana nchini kuzalisha kwa wingi mazao ya

Vyuo Tanzania vyahimizwa kutoa mfano katika kilimo
Serikali imewataka wahitimu wa vyuo vya kilimo kote nchini kutumia fursa ya uhaba wa maafisa

Usajiri wa wadau katika kilimo waendelea Tanzania
Lengo ni kupata twakimu kwa upangaji mwafaka Serikali ya Tanzania imetangaza usajili wa wadau wote

Mikoa inayolima zao la Pamba wakutana Tanzania
Wakuu wa mikoa inayolima zao la pamba nchini wamekutana kupokea na kujadili taarifa ya kamati

Bodi za mazao kuunganishwa kuunda Mamlaka tatu za mazao – Waziri Hasunga
Serikali imedhamiria kuziunganisha Bodi sita za mazao zilizopo chini ya Wizara ya Kilimo na kuwa

Waziri Hasunga akabidhi taarifa ya ubadhilifu kwenye vyama vya Ushirika Tanzania kwa TAKUKURU
Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga (Mb) leo amekabdihi ripoti ya ukaguzi wa Vyama vya

Chunguza mfuko- Hasunga ashauri CAG
WAZIRI wa Kilimo wa Tanzania Mhe Japhet Hasunga amemshauri Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu

Serikali yapongeza JUWANATA kwa kuanzisha Jumuiya ya wasindikaji nafaka.
Serikali imeupongeza uongozi wa muda wa Jumuiya ya Wasindikaji Nafaka Tanzania (JUWANATA) kwa kukamilisha rasimu