Kilimo Tanzania News

Youth in Tanzania start harvesting in BBT program
Tanzanian Minister of Agriculture, Hon. Hussein Bashe has congratulated the youth who benefited from the

Bajeti ya Kilimo Tanzania-umwagiliaji na mbegu bora zapewa kipaumbele
Idadi ya Watanzania ni Milioni 61.74. Kati ya hao asilimia 65.6 sawa na zaidi ya

Mikakati ya kuwawezesha wakulima wa mkonge kuzalisha kwa tija
Naibu Waziri wa Kilimo nchini Tanzania Mhe. Anthony Mavunde amewataka Wakulima wa zao la mkonge

Mavunde awasihi wakulima wajisajili
Naibu Waziri wa Kilimo Tanzania Mhe. Anthony Mavunde amewataka wakulima nchini kujitokeza katika zoezi la

Wakulima wapimiwe ardhi na wapewe hati, asema Naibu wa Waziri Mavunde
Naibu Waziri wa Kilimo wa Tanzania Mhe. Anthony Mavunde ameitaka Timu ya wataalamu wa Ardhi

Mavunde ahimiza kilimo mkataba kwa wakulima juu ya soko
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Anthony Mavunde amewataka wachakataji wa mazao ya kilimo kuingia mikataba

Tanzania na Israel kushirikiana kwenye ujuzi wa uzalishaji wa mbegu
Nchi za Tanzania na Israel zimeanzisha mazungumzo kuelekea katika makubaliano ya kushirikiana katika maeneo ya

Mwelekeo wa kilimo chetu kwa sasa ni umwagiliaji – Waziri Bashe
Kipaumbele cha Serikali ya Tanzania ni kuimarisha Sekta ya Kilimo cha umwagiliaji ili kupunguza utegemea

Serikali yaonya wazalishanji wa miche
Waziri wa Kilimo nchini Tanzania Mhe. Hussein Bashe ametoa miezi sita kwa wazalishaji wa Miche

Naibu Waziri akutana na Mkuu wa FAO
Naibu Waziri wa Kilimo wa Tanzania , Mhe. Anthony Mavunde, wakati kikao cha 32 cha

Tanzania kuongeza uzalishaji wa mkonge
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo,Mifugo na Maji imeipongeza serikali ya Tanzania kwa mikakati

Serikali ya Tanzania kuimarisha utafiti wa kilimo
Serikali ya awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuimarisha

Tanzania yasaka wawekezaji kwenye sekta ya kilimo
Waziri wa Kilimo wa Tanzania Mhe. Hussein Bashe akiwa katika maonyesho ya kimataifa ya Dubai

Limeni alizeti mpate faida ya haraka – Waziri Mkuu Majaliwa
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa amewaasa Wakulima wa

Bilioni 12 za wakulima wa kahawa kagera kulipwa
Serikali ya Tanzania imesema wakulima waliokusanya kahawa yao kwenye vyama vya ushirika mkoani Kagera wataanza

Wanafunzi wa kilimo wasifukuzwe – Kusaya
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya ameagiza uongozi wa Chuo cha mafunzo ya Kilimo

Katibu mkuu kilimo aridhishwa na skimu ya umwagiliaji mvumi Kilosa
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo wa Tanzania Gerald Kusaya amesema ameridhishwa na hatua ya ujenzi

Waziri Hasunga awaonya wafanyi biashara dhidi ya kuongeza bei ya sukari
Serikali ya Tanzania imeweka wazi bei ya sukari nchini ambapo bei ya rejareja haitazidi Sh

VIJANA LIMENI NA KUUZA POPOTE, SERIKALI HAITOWAINGILIA – NAIBU WAZIRI BASHE
Naibu Waziri wa Kilimo Tanzania Hussein Bashe amewataka vijana nchini kuzalisha kwa wingi mazao ya

Vyuo Tanzania vyahimizwa kutoa mfano katika kilimo
Serikali imewataka wahitimu wa vyuo vya kilimo kote nchini kutumia fursa ya uhaba wa maafisa

Tanzania- Waziri Hasunga akutana na AGRI Connect
Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga amekutana na wajumbe kutoka Umoja wa Jumuiya ya Nchi

Tanzania -Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) kutoa shilingi milioni 500 kwa serikali
Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) leo imetoa mchango wake wa shilingi milioni

Bodi za mazao kuunganishwa kuunda Mamlaka tatu za mazao – Waziri Hasunga
Serikali imedhamiria kuziunganisha Bodi sita za mazao zilizopo chini ya Wizara ya Kilimo na kuwa

Waziri Hasunga akabidhi taarifa ya ubadhilifu kwenye vyama vya Ushirika Tanzania kwa TAKUKURU
Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga (Mb) leo amekabdihi ripoti ya ukaguzi wa Vyama vya

Tumieni ongezeko la uzalishaji wa mpunga kwenye mradi wa TANRICE kama chachu – Mhandisi Mtigumwe
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Mhandisi Mathew Mtigumwe amewaasa Wataalam wa Sekta ya Kilimo kuongeza

Chunguza mfuko- Hasunga ashauri CAG
WAZIRI wa Kilimo wa Tanzania Mhe Japhet Hasunga amemshauri Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu

Taasisi za kifedha Tanzania kuhimizwa kuongeza uwekezanji katika kilimo
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe ameeleza umuhimu wa taasisi za kifedha kuongeza uwekezaji

Serikali yapongeza JUWANATA kwa kuanzisha Jumuiya ya wasindikaji nafaka.
Serikali imeupongeza uongozi wa muda wa Jumuiya ya Wasindikaji Nafaka Tanzania (JUWANATA) kwa kukamilisha rasimu

SERIKALI ITALINDA SOKO LA NDANI LA PAMBA -BASHE
Serikali imesema inatakutana na wadau wa zao la pamba nchini mapema mwanzoni mwezi Novemba mwaka

Soko ya mtama mweupe Tanzania
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Eng. Mathew Mtigumwe amewahamasisha Wakulima wa Mikoa ya Kanda ya