Waziri wa Kilimo Tanzania Hussein Bashe ameagiza kukamatwa kwa mmliki wa kampuni ya Candia Fresh iliyopo Njombe kwa madai ya kununua parachichi ambazo hazijakomaa na kisha kutupwa katika dampo la Halmashauri ya Njombe Mji. Kampuni hiyo pia imefungiwa kujihusisha na kununua au kuuza parachichi
Kampuni yakatazwa kununua parachichi

- Tags: Avocado, parachichi, Tanzania, wizara ya kilimo
Share your views about this story
Related stories

Bajeti ya Kilimo Tanzania-umwagiliaji na mbegu bora zapewa kipaumbele
May 10, 2023
No Comments
Idadi ya Watanzania ni Milioni 61.74. Kati ya hao asilimia 65.6 sawa na zaidi ya

Mikakati ya kuwawezesha wakulima wa mkonge kuzalisha kwa tija
December 5, 2022
No Comments
Naibu Waziri wa Kilimo nchini Tanzania Mhe. Anthony Mavunde amewataka Wakulima wa zao la mkonge

Mavunde awasihi wakulima wajisajili
October 31, 2022
No Comments
Naibu Waziri wa Kilimo Tanzania Mhe. Anthony Mavunde amewataka wakulima nchini kujitokeza katika zoezi la

Wakulima wapimiwe ardhi na wapewe hati, asema Naibu wa Waziri Mavunde
October 27, 2022
No Comments
Naibu Waziri wa Kilimo wa Tanzania Mhe. Anthony Mavunde ameitaka Timu ya wataalamu wa Ardhi

Mavunde ahimiza kilimo mkataba kwa wakulima juu ya soko
October 2, 2022
No Comments
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Anthony Mavunde amewataka wachakataji wa mazao ya kilimo kuingia mikataba

Tanzania na Israel kushirikiana kwenye ujuzi wa uzalishaji wa mbegu
August 29, 2022
No Comments
Nchi za Tanzania na Israel zimeanzisha mazungumzo kuelekea katika makubaliano ya kushirikiana katika maeneo ya

Mwelekeo wa kilimo chetu kwa sasa ni umwagiliaji – Waziri Bashe
June 16, 2022
No Comments
Kipaumbele cha Serikali ya Tanzania ni kuimarisha Sekta ya Kilimo cha umwagiliaji ili kupunguza utegemea

Serikali yaonya wazalishanji wa miche
May 17, 2022
No Comments
Waziri wa Kilimo nchini Tanzania Mhe. Hussein Bashe ametoa miezi sita kwa wazalishaji wa Miche

Naibu Waziri akutana na Mkuu wa FAO
April 14, 2022
No Comments
Naibu Waziri wa Kilimo wa Tanzania , Mhe. Anthony Mavunde, wakati kikao cha 32 cha

Tanzania kuongeza uzalishaji wa mkonge
March 18, 2022
No Comments
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo,Mifugo na Maji imeipongeza serikali ya Tanzania kwa mikakati